Habari RFI-Ki
Mashambulizi ya Mai-Mai katika mji wa Uvira Mkoa wa Kivu Kusini
Imechapishwa:
Cheza - 10:21
Makala haya wasikilizaji wa RFI Kiswahili wanatoa mtazamo wao kuhusu mashambulizi yaliotelekelezwa na Makundi Mai-Mai katika tarafa ya Uvira Mkoa wa kibu ya Kusini mashariki mwa DRCongo mpakani na Burundi.