Jukwaa la Michezo
Floyd Mayweather ashinda pigano lake la 50 na kustaafu
Imechapishwa:
Cheza - 23:27
Mwanamasumbwi kutoka Marekani Floyd Mayweather ametangaza kuwa anastaafu sasa kucheza masumbwi baada ya kumshinda Conor McGregor siku ya Jumamosi.Mayweather mwenye umri wa miaka 40, amestaafu kwa kushinda mapigano yote 50 ya Kimataifa aliyopigana.