Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

CAF yaongeza idadi za timu zitakazoshiriki fainali za AFCON

Imechapishwa:

Kuanzia mwaka 2019, michuano ya soka barani Afrika AFCON, itashirikisha mataufa 24 kutoka 16 na michuano hiyo itachezwa kati ya mwezi Juni na Julai. Ratiba ya michuano ya klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika pia imebadilishwa. Tunajadili hili kwa kina.

Nembo ya Shirikisho la soka barani Afrika CAF
Nembo ya Shirikisho la soka barani Afrika CAF cafonline
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.