Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Zimbabwe yashinda taji la COSAFA mwaka 2017

Imechapishwa:

Timu ya taifa ya soka ya Zimbabwe, imeshinda taji la COSAFA miongoni mwa mataifa ya Kusini mwa bara la Afrika. The Warriors iliifunga Zambia mabao 3-1 katika mashindano yaliyomalizika jioni hii nchini Afrika Kusini.

Zimbabwe ikimenyana na Zambia katika fainali ya COSAFA Julai 9 2017
Zimbabwe ikimenyana na Zambia katika fainali ya COSAFA Julai 9 2017 cosafamedia
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.