Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michuano ya COSAFA yaanza nchini Afrika Kusini

Imechapishwa:

Michuano ya mwaka huu ya COASAFA imeanza kutifua vumbi nchini Afrika Kusini. Mataifa 14 kutoka ukanda wa Kusini mwa Afrika yanashiriki, ikiwemo Tanzania ambayo imealikwa. Tunajadili hili na mengine yanayotokea mwishoni mwa wiki hii.

Zimbabwe na Msumbiji zikimenyana katika mchuano muhimu wa COSAFA
Zimbabwe na Msumbiji zikimenyana katika mchuano muhimu wa COSAFA COSAFAMEDIA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.