Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Marais wa vyama vya soka Afrika Mashariki wataka uongozi wa CECAFA ubadilishwe

Imechapishwa:

Marais wa vyama vya soka Afrika Mashariki ya Kati hivi karibuni walikutana jijini Kampala nchini Uganda na kuja na mapendekezo tisa, ya kuimarisha soka katika ukanda wa CECAFA. Hata hivyo, uongozi wa CECAFA haikuhusishwa katika mkutano huo.

Nembo ya CECAFA
Nembo ya CECAFA CECAFA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.