Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Afrika Mashariki yanawiri katika mashindano ya riadha ya nyika ya dunia

Imechapishwa:

Wanariadha wa Kenya wametamba katika makala ya 42 ya mashindano ya riadha ya Nyika ya dunia yaliyomalizika Jumapili jioni katika uwanja wa Uhuru wa Kololo jijini Kampala nchini Uganda. 

Wanariadha wa Kenya baada ya kushinda taji la mbio za kupokezana kitambaa katika mashindano ya riadha nyika ya dunia yaliyofanyika Jumapili Machi 26 2017 jijini Kampala
Wanariadha wa Kenya baada ya kushinda taji la mbio za kupokezana kitambaa katika mashindano ya riadha nyika ya dunia yaliyofanyika Jumapili Machi 26 2017 jijini Kampala www.iaaf.org
Matangazo ya kibiashara

Geoffrey Kamworor alitetea taji aliloshinda mwaka 2015 nchini China baada ya kumaliza mbio za Kilomita 10 kwa upande wa wanaume kwa muda wa dakika 28 na sekunde 24.

Nafasi ya pili ilimwendea Leonard Kiplimo Barsoton pia kutoka Kenya, huku Abadi Hadis kutoka Ethiopia akimaliza wa tatu na kushinda medali ya shaba.

Tunachambua mashindano haya kwa kina.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.