Jukwaa la Michezo
Matokeo ya mechi za klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho na kufungiwa kwa FECAFOOT
Imechapishwa:
Cheza - 23:58
Makala ya Jukwaa la Michezo juma hili inakuletea uchambuzi wa kina wa matokeo ya mechi za klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho, lakini pia mustakabali wa soka la Afrika.