Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Matokeo ya mechi za klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho na kufungiwa kwa FECAFOOT

Imechapishwa:

Makala ya Jukwaa la Michezo juma hili inakuletea uchambuzi wa kina wa matokeo ya mechi za klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho, lakini pia mustakabali wa soka la Afrika.

Mchezaji wa TP Mazembe, Rainford Kalaba ambaye timu yake imeondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika.
Mchezaji wa TP Mazembe, Rainford Kalaba ambaye timu yake imeondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika. STRINGER / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.