Jukwaa la Michezo
Kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu wa shirikisho la mpira barani Afrika Caf
Imechapishwa:
Cheza - 21:51
Makala ya Jukwaa la Michezo Jumamosi hii inakueletea uchambuzi wa matokoe ya uchaguzi mkuu wa shirikisho la mpira barani Afrika Caf, ambapo rais wa sasa Issa Hayatou ameangukia pua baada ya kushindwa na Ahmad Ahmad rais wa chama cha soka cha Madagascar.