Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Cameroon ndio Simba wa soka barani Afrika

Imechapishwa:

Timu ya taifa ya soka ya Cameroon, imeshinda taji la soka barani Afrika katika michuano ya AFCON, iliyomalizika nchini Gabon. Kuelekea kwenye fainali hii, tulichambua mchuano huu kwa kina dhidi ya Misri.

Wachezaji wa Cameroon wakisherehekea baada ya kushinda taji la AFCON 2017
Wachezaji wa Cameroon wakisherehekea baada ya kushinda taji la AFCON 2017 Pierre Rene-Worms/RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.