Jukwaa la Michezo
AFCON 2017: Uchambuzi wa michuano ya hatua ya robo fainali
Imechapishwa:
Cheza - 23:09
Misri, Ghana, Burkina Faso na Cameroon zimefuzu katika hatua ya nusu fainali kuwania taji la soka barani Afrika AFCON 2017. Tunachambua kwa kina michuano ya robo fainali, DRC dhidi ya Ghana, na Misri ikipambana na Morocco.