Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

AFCON 2017: Uganda yalemewa nchini Gabon, yasubiri mechi ya mwisho

Imechapishwa:

Timu ya taifa ya soka ya Uganda imeondolewa katika michuano ya soka kuwania ubingwa wa barani Afrika inayoendelea nchini Gabon baada ya kufungwa na Misri bao 1-0 lakini pia kupoteza dhidi ya Ghana bao 1-0. Tunachambua kwa kina kinachoendelea.

Uganda ikimenyana na Misri katika mchuano muhimu wa kundi D.
Uganda ikimenyana na Misri katika mchuano muhimu wa kundi D. RFI/Pierre René-Worms
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.