Jukwaa la Michezo
AFCON 2017: Uganda yalemewa nchini Gabon, yasubiri mechi ya mwisho
Imechapishwa:
Cheza - 24:51
Timu ya taifa ya soka ya Uganda imeondolewa katika michuano ya soka kuwania ubingwa wa barani Afrika inayoendelea nchini Gabon baada ya kufungwa na Misri bao 1-0 lakini pia kupoteza dhidi ya Ghana bao 1-0. Tunachambua kwa kina kinachoendelea.