Jukwaa la Michezo
Uchambuzi wa fainali ya ligi ya mabingwa Afrika kati ya Zamalek na Mamelodi Sundowns
Imechapishwa:
Cheza - 21:51
Makala ya Jukwaa la Michezo juma hili inaangazia na kukuletea uchambuzi kuhusu mchezo wa fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika, kati ya Zamalek ya Misri na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.