Jukwaa la Michezo
Fainali ya klabu bingwa barani Afrika nani kutwaa kombe hili mwaka huu
Imechapishwa:
Cheza - 21:16
Makala ya Jukwaa la Michezo juma hili inaangazia kuhusu mchezo wa hatua ya fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika, kati ya klabu ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini na Zamaleck ya nchini Misri.