RAGA-MICHEZO
Richie Mc Caw atangaza kuustaafu
Nahodha wa timu ya taifa ya New Zealand ya mchezo wa Raga Richie Mc Caw ametangaza kustaafu kuicheza timu yake.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 amestaafu baada ya kucheza mechi 148 na kuongoza ushindi katika mechi 131.
Atakakumbukwa na wapenzi wa mchezo huu nchini mwake kwa kuingoza All Black mwezi uliopota kwa mara nyingine kushinda kombe la dunia wakati michuano hiyo ilipofanyika nchini Uingereza.