Pata taarifa kuu
UJERUMANI-ARGENTINA-SOKA

Kombe la dunia Brazil 2014

Kikubwa kitakachokumbukwa mwaka huu unaokamilika ni michuano ya soka ya kombe la dunia iliyofanyika nchini Brazil kati ya tarehe 12 mwezi Juni hadi tarehe 13 mwezi Julai.

Ujerumani waibuka mabingwa baada ya kuwafunga Argetina bao 1 kwa 0 katika mchuano wa fainali. uliochezwa kwenye uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.
Ujerumani waibuka mabingwa baada ya kuwafunga Argetina bao 1 kwa 0 katika mchuano wa fainali. uliochezwa kwenye uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro. Reuters/Michael Dalder
Matangazo ya kibiashara

Timu ya taifa ya Ujerumani iliibuka mabingwa baada ya kuwafunga Argetina bao 1 kwa 0 katika mchuano wa fainali. Ni kwa mara ya nne Ujerumani unatwaa kombe hilo katika historia yake.

Uholanzi iliibuka katika nafasi ya tatu huku, wenyeji Brazil wakiibuka wanne.

Mfungaji bora alikuwa ni James Rodriguez kutoka Colombia aliyefunga mabao sita, huku Lionel Messi akiibuka kuwa mchezaji bora.

Bara la Afrika liliwakilishwa na Algeria, Cameroon, Ghana, Cote d'Ivoire na Nigeria.

Nigeria na Algeria zilifika katika hatua ya kumi na sita bora.

Baada ya wiki tano ya juhudi Ujerumani waibuka bingwa wa dunia wa soka.
Baada ya wiki tano ya juhudi Ujerumani waibuka bingwa wa dunia wa soka. REUTERS/Eddie Keogh

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.