Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Palestina yasema haitaitambua Israel

Imechapishwa:

Mamlaka ya Palestina imesema, haitaitambua Israel baada ya Marekani kutangaza kuwa inaitambua Jerusalem kuwa makao makuu ya Israel. Wakati uo huo, Marekani imesema inasitisha msaada wa fedha kwa Tume ya Umoja wa Mataifa, inayowashughulikia wakimbizi wa Kipalestina.

Kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas
Kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas REUTERS/Carlos Barria
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.