Leo ni siku ya kimataifa ya kushirikiana na wapalestina.Ni siku iliyotungwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1977 ili kutambua haki ya watu hao kuwa taifa huru na yenye mamlaka kamili ya kujitawala.Mwaka huu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon anataka Israel kuacha ubomoaji wa makaazi ya Palestina katika ukanda wa Gaza kama njia mojapowapo ya kutambua haki za Palestina.Je unahisi kuwa haki za Palestina zinaheshiwa na dunia imefanya vya kutosha kusaidia kutatua mgogo wake na Israel ?Na Edmond Lwangi Tcheli
Vipindi vingine
-
09:41
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31
-
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake20/03/202410:08