Nyumba ya Sanaa
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
Soma yanayofuataSikiliza kipindi kilichopita
-
Muziki wa Taarab na chid boy mpiga kinanda wa bendi ya nakshi nakshi
Muziki wa Taarab unashehenezwa na mirindimo ya vyombo kwa kisasa sambamba na Kinanda , Kutana na Chid Boy Mpiga kinanda wa Bendi ya Nakshi Nakshi na Mmiliki wa Bendi hiyo.16/03/202420:07 -
Muziki wa kizazi kipya na Kadason kutoka nchini Tanzania
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya.09/03/202420:10 -
Huduma kwa watu wenye ulemavu nchini Tanzania
Hospitali ya Inuka iliyo katika Wilaya ya Makambako Mkoani Njombe nchini Tanzania ni moja ya hospital inayotoa huduma ya utengamao kwa walemavu wa viungo na kuibua tabasamu kwa wana wa taifa hili kutoka mikoa mbali mbali nchini humu.28/02/202409:59 -
Zanzibar: Wasani waliotumbuiza katika tamasha la sauti za busara
Wasani mbali kutoka Afrika walihudhuria tamasha hilo wakiwemo wale wa jamii ya wamaasai kutoka Kenya.24/02/202420:05 -
20:02
-
Ubunifu wa mavazi na Doreen Mashika Visiwani Zanzibar
Doreen Mashika ni mbunifu kutoka visiwani Zanzibar10/02/202420:05 -
Maendeleo ya muziki wa taarab nchini Tanzania
Steven Mumbi amefanya mahojiano na Rahama Machupa msanii wa nyimbo za taarab nchini Tanzania.03/02/202420:07 -
Tamasha la sauti za busara kufanyika visiwani Zanzibar
Tamasha hilo litafanyika mwezi Februari.27/01/202420:10 -
Innocent Galinoma anazungumzia maisha ya Kimuziki ya Marekani
Innocent Galinoma anazungumzia maisha ya Kimuziki ya Marekani katika Makala ya Nyumba ya Sanaa20/01/202420:04 -
Muziki wa reggae nchini Tanzania
Muziki wa Reggae ni miongoni mwa Miziki iliyopata mashiko mapema zaidi ukilinganisha na aina nyingine ya Muziki nchini Tanzania, Innocent Galinoma akiishi nchini Marekani ni miongoni mwa wasanii wa Mwanzo wa Muziki huo nchini Tanzania, Steven Mumbi amezungumza naye katika Makala haya.13/01/202420:31 -
Ambwene Mwasongwe Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania
Ambwene Mwasongwe ni Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania, aliyejizolea umaarufu kutokana na nyimbo zilizojaa simulizi za Maisha na kubadili mitizamo kuhusu Maisha, Ungana na Steven Mumbi anazungumza na Muimbaji huyo.06/01/202420:04 -
Fresh Jumbe mwanamuziki wa dansi nchini Tanzania
Miongoni ma wanamuziki wa muziki wa dansi waliofanikiwa kwenda barani Ulaya ni pamoja na Fresh Jumbe, baada ya kufanya sanaa hiyo kwa miaka mingi nchini Japan sasa amerejea Tanzania, Ungana na Steven Mumbi katika makala ya nyumba ya sanaa akizungumza na msanii huyo.02/12/202320:19 -
Amina Ahmed Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania
Amina Ahmed Mzee Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania anasema Rushwa ya Ngono imewaathiri wasichana kushindwa kufanya kazi zao kwa ufasaha.18/11/202320:04 -
Innocent Msigwa maarufu Chancellor msanii wa muziki wa kizazi kipya Tanzania
Diamond Platinumz ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania walimvutia kufanya sanaa hiyo, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa11/11/202320:04 -
Muziki wa dansi na Fredrick Fulmeradius
Muziki wa Dansi unachukua sura mpya baada ya Vijana waofanya muziki wa aina nyingine kugeukia muziki huu, Steven Mumbi amezungumza naye Fredrick Fulmeradius04/11/202320:04
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.