Habari RFI-Ki
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Soma yanayofuataSikiliza kipindi kilichopita
Vipindi vyote
-
Kila Ijumaa ni nafasi kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili
Kila Ijumaa una nafasi ya kuchangia mada yoyote ndani ya makala Habari Rafiki, kuhusu taarifa zetu au kile kinachoendelea hapo ulipo.15/03/202410:03 -
Kenya : Yasitisha mpango wa kutuma polisi Haiti
Kenya imetangaza kusitisha mpango wa kutuma polisi wake 1000 nchini Haiti baada ya kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Ariel Henry.13/03/202409:51 -
Dunia: Mwezi mtukufu wa Ramadhan waanza rasmi
Waumini wa dini ya Kiisilamu wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kipindi hiki mataifa mengi ya Afrika mashariki yakishuhudia mfumko wa bei za bidhaa.12/03/202409:55 -
Ukeketaji donda sugu UNICEF yasema
Katika makala haya ya Habari Rafiki, tunajadili kauli ya shirika la kutetea haki za watoto la UNICEF, kwamba wasichana milioni 230 duniani wamekeketwa, ikiwa ni ongezeko la asilimia tano katika kipindi cha miaka nane takwimu hizi zikitia hofu.11/03/202410:00 -
Maoni ya wasilizaji kuhusu siku ya wanawake duniani march 8
Makala haya ni maoni ya waskilizaji kuhusu siku ya kimataifa ya wanawake dunaini ambayo huadhilishwa kila ifikapo march 8 ya kila mwaka.11/03/202410:02 -
Maoni ya waskilizaji kuhusu malalamiko ya wasanii wa Kenya kunyimwa mirabaha
Makala haya mtangazaji wa zamu Habari Rafiki Juma hili Ali Bilali anazungumzia kuhusu malalamiko ya wasanii nchini Kenya kuhusu kunyimwa mirabaha, baada ya kukusanywa na mamlaka husika, kinyume na ilivyo nchini Tanzania ambako licha ya changamoto zilizopo angalau wamepiga hatuwa kwenda mbele. Hali ikoje nchini mwako?06/03/202410:04 -
09:47
-
09:59
-
09:35
-
09:31
-
09:56
-
10:09
-
10:01
-
10:03
-
10:02
Habari RFI-Ki
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.