Nyumba ya Sanaa
Papie Mumbere ndani ya nyumba ya sanaa na muziki wa Injili
Imechapishwa:
Cheza - 19:15
Nyumba ya sanaa inatembelewa na wasanii raia kutoka nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo,DRC Papie Mumbere ambao wanajishughulisha na muziki wa Injili jijini Dar es Salaaam nchini Tanzania.