Habari RFI-Ki
Yanayojiri katika michuano ya kandanda la watani wa jadi Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Leo inaangazia yanayojiri katika viwanja vya soka ambapo kumeibuka matukio mengi ya kushangaza zinapocheza timu zinazojulikana kama watani wa jadi kama ilivyo kwa Tanzania Sima FC na Yanga FC,kumekuwa na tabia ya kuzirai kwa mashabiki nk......hii inazungumziwaje na wasikilizaji?