Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Cecafa inanuia kupeleka timu ya wanawake kombe la dunia

Imechapishwa:

Mashindano ya vyama vya soka kwa nchi za Afrika mashariki na kati yanafanyika nchini Tanzania ambapo RFI Kiswahili kupitia kipindi cha Jukwaa la Michezo imepata fursa ya kuzungumza na katibu mkuu wa Cecafa Nicholas Musonye. Ungana na Fredrick Nwaka kwa undani zaidi

Wachezaji wa timu ya wanawake ya Kenya, Harambee Starlets wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Cecafa kwa kuishinda Tanzania Bara kwa mabao 2-0 katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam, Tanzania 25 Novemba 2019
Wachezaji wa timu ya wanawake ya Kenya, Harambee Starlets wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Cecafa kwa kuishinda Tanzania Bara kwa mabao 2-0 katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam, Tanzania 25 Novemba 2019 RFI/Fredrick Nwaka
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.