Pata taarifa kuu
TANZANIA-KENYA-UGANDA

Wamwiduka Band:Tunafanya Muziki ili kujipatia kipato cha kuishi

Bendi ya Muziki inayofanya Sanaa ya Muziki kwa kupiga mtaa kwa Mtaa wazungumzia namna walivyofanikiwa kuifanya sanaa hiyo kutokea mkoani Mbeya Nyanda za juu kusini mwa Tanzania mpaka jijini Dar es salaam kufanya sanaa hii.Ungana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Viongozi wa Bendi hiyo.

Wamwiduka wakifanya Onesho Mtaani
Wamwiduka wakifanya Onesho Mtaani Picha:Wamwiduka
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.