Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi imebaini katika ripoti yake kwamba "hali ya hofu" inatawala katika nchi hiyo, ikiwa imesalia miezi minane kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2020.Katika ripoti yake, Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi, iliyoundwa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mnamo mwaka 2016, inaelezea jinsi mamlaka nchini humo na vijana wa chama tawala, Imbonerakure, wanaendelea kuwafanyia vitisho raia kwa kuwalazimisha kujiunga, kuunga mkono au kuchangia chama tawala, CNDD-FDD.Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu malalamiko ya wasanii wa Kenya kunyimwa mirabaha
Makala haya mtangazaji wa zamu Habari Rafiki Juma hili Ali Bilali anazungumzia kuhusu malalamiko ya wasanii nchini Kenya kuhusu kunyimwa mirabaha, baada ya kukusanywa na mamlaka husika, kinyume na ilivyo nchini Tanzania ambako licha ya changamoto zilizopo angalau wamepiga hatuwa kwenda mbele. Hali ikoje nchini mwako?06/03/202410:04 -
Maoni ya wasilizaji kuhusu siku ya wanawake duniani march 8
Makala haya ni maoni ya waskilizaji kuhusu siku ya kimataifa ya wanawake dunaini ambayo huadhilishwa kila ifikapo march 8 ya kila mwaka.11/03/202410:02 -
09:47
-
09:59
-
09:35