Siha Njema
Fistula Tishio kwa Wajawazito wanaochelewa kufika Hospitali wakati wa Uchungu
Imechapishwa:
Cheza - 10:06
Kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) zaidi ya wasichana na wanawake milioni 4 ulimwenguni wanaishi na tatizo la Fistula huku wanawake kati ya 50,000 na 100,000 wakipata tatizo hili kila mwaka.Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Siha Njema kuangazia Ugonjwa huo.