Habari RFI-Ki
Nchi za Afrika mashariki zinachukua tahadhari baada ya mlipuko wa ebola nchini Uganda
Imechapishwa:
Cheza - 10:39
Ugonjwa wa ebola umeripotiwa kuingia nchini Uganda katika wilaya ya Kasese, Je mataifa ya Afrika mashariki yanachukua hatua zipi? Fredrick Nwaka amekuandalia makala ya habari rafiki kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu