Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais wa DRC atimiza Siku 100 Madarakani
Imechapishwa:
Cheza - 20:56
Katika Makala haya Juma hili,Miongoni mwa tluyoyapa Uzito katika Matangazo yetu ni pamoja na Wananchi wa DRC watoa mitizano yao kuhusu Siku 100 za Rais Tshisekedi, Waandamanaji Sudan waendelea kutaka Utawala wa kiraia, Sudani Kusini mvutano waendelea kati ya Rais Kiir na Machar na Afrika kusini kumefanyika Uchaguzi Mkuu.Mwenyeji wako katika Makala ya juma hili ni Steven Mumbi karibu.