Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Mzozo kati ya Rwanda na Uganda kuhusu mpaka wa Katuna

Imechapishwa:

Nchi za Rwanda na Uganda zinashuhudia mvutano wa kidiplomasia. Rwanda inaishutumu Uganda kwa kuwaficha maadui wa serikali yake, suala ambalo Uganda inakanusha vikali.

Rais wa Uganda Yoweri Musveni (Kushoto) akisalimiana na rais wa Rwanda Paul Kagame (Kulia) katika siku zilizopita
Rais wa Uganda Yoweri Musveni (Kushoto) akisalimiana na rais wa Rwanda Paul Kagame (Kulia) katika siku zilizopita PHOTO | PRESIDENCY
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.