Habari RFI-Ki
Kwanini raia wa Sudan Kusini wanakimbia nchi yao licha ya kuripotiwa kuimarika kwa usalama?
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Raia zaidi ya elfu kumi wa Sudan Kusini wamekimbilia nchini DRC kwa kile wanasema ukosefu wa usalama na kuapa kutorejea nchini mwao. Haya yanajiri katika wakati ambao kunaripotiwa kuimarika kwa hali ya usalama na amani. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu