Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Kimbokota; Sanaa ya Ubunifu haijawekezwa ipasavyo Mashuleni

Imechapishwa:

Sanaa ya Ubinufu ndio sanaa mama katika Uchoraji,Uchongaji na hata katika matumizi ya vyuma chakavu katika kuunda Vifaa mbalimbali.Katika Makala ya Nyumba ya Sanaa Ungana na Steven Mumbi akizungumzuza na Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es salaam UDSM, Safina Kimbokota wakizungumza Sanaa hiyo na Mapokeo ya wanafunzi kusoma Sanaa katika elimu ya juu.

Safina Kimbikota akifanya Ubunifu katika karakana yake jijini Dar es salaam
Safina Kimbikota akifanya Ubunifu katika karakana yake jijini Dar es salaam Picha/Safina Kimbokota
Vipindi vingine
  • 20:07
  • 20:10
  • 09:59
  • 20:05
  • 20:02
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.