Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Siku ya Upigaji Picha Duniani yaadhimishwa Tanzania

Imechapishwa:

Kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya upigaji picha za Habari, Picha zinazoelezea hali wanazokabiliana nazo wananchi katika mataifa Mbalimbali, kutoka barani Afrika ni asilimia 2 tu ya picha hizo huonekana Duniani.Katika Makala ya Nyumba ya Sanaa Steven Mumbi anaangazia umuhimu wa Upigaji Picha za Habari.

Meneja wa Maonesho ya Upigaji picha za Habari Sophie Boshouwers akizungumza na Mpiga Picha Aika Kimaro huko Alliance Francais
Meneja wa Maonesho ya Upigaji picha za Habari Sophie Boshouwers akizungumza na Mpiga Picha Aika Kimaro huko Alliance Francais Picha/Steven Mumbi
Vipindi vingine
  • 20:07
  • 20:10
  • 09:59
  • 20:05
  • 20:02
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.