Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Vijana Wajitoa kufanya Saana ya Muziki Sanifu

Imechapishwa:

Sanaa ya Muziki Sanifu ni uimbaji unafanyika pasipoo kutumia vyombo vya muziki wa ala, Mpangilio wa sauti kwa waimbaji ndio unasheheneza uzuri na upekee wa Sanaa hii.Kutana na Viujana wa kanisa la Anglikana Vingunguti jijini Dar es salaam,walipozungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa wakielezea sanaa hiyo.

Vijana nchini humo wanajitolea kufanya kazi mbalimbali
Vijana nchini humo wanajitolea kufanya kazi mbalimbali Vijana Tanzania
Vipindi vingine
  • 20:07
  • 20:10
  • 09:59
  • 20:05
  • 20:02
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.