Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Waigizaji DRC walalamikia kutonufaika na Kazi zao

Imechapishwa:

Waigizaji nchini DRC wanatamani Sanaa yao kufika Mbali,Miongoni mwa vikwazo wanavyokabiliana navyo ni pamoja na Uchanga wa teknolojia ikiwa ni pamoja na vifaa duni, Elimu ya Uigizaji ni suala lingine linalowarudisha nyuma.Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Kapangala Mukunda Edo Muigizaji, Mtayarishaji wa Filamu nchini DRC kutoka Goma katika Mkala ya Nyumba ya Sanaa.

Goma,DRC
Goma,DRC RFI/Leonora Baumann
Vipindi vingine
  • 20:07
  • 20:10
  • 09:59
  • 20:05
  • 20:02
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.