Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Eritrea yaondolewa vikwazo na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Imechapishwa:

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeondolea vikwazo taifa la Eritrea ambavyo vilikuwa vimedumu kwa karibu muongo mmoja. Vikwazo hivyo zilihusisha marufuku ya ununuzi wa silaha na mengineyo. Je uamuzi wa UN una maana gani katika kuleta utulivu katika eneo la pembe ya Afrika, Fredrick Nwaka amekuandalia makala ya Habari Rafiki kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu

Rais wa Eritrea Isias Afwerk (kulia) akiwa na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed
Rais wa Eritrea Isias Afwerk (kulia) akiwa na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed BBC.COM
Vipindi vingine
  • 10:04
  • 10:02
  • 09:47
  • 09:59
  • 09:35
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.