Habari RFI-Ki
Serikali za Afrika Mashariki na Kati zinachukua hatua gani kukabiliana na visa vya raia wake kushambuliwa katika mataifa ya Arabuni?
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati miezi ya karibuni yameripoti visa vya raia wake kushambuliwa na hata kuuliwa katika mataifa ya Asia.Serikali za Afrika Mashariki na Kati zinachukua hatua zipi kulinda raia wake wanaokwenda kutafuta ajira barani Asia.Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni.