Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Serikali za Afrika Mashariki na Kati zinachukua hatua gani kukabiliana na visa vya raia wake kushambuliwa katika mataifa ya Arabuni?

Imechapishwa:

Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati miezi ya karibuni yameripoti visa vya raia wake kushambuliwa na hata kuuliwa katika mataifa ya Asia.Serikali za Afrika Mashariki na Kati zinachukua hatua zipi kulinda raia wake wanaokwenda kutafuta ajira barani Asia.Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni.

Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati yamelalama raia wake kushambuliwa katika mataifa ya Arabuni
Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati yamelalama raia wake kushambuliwa katika mataifa ya Arabuni Encyclopedia Britannica
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.