Nyumba ya Sanaa
Mbanaye Bendi ya Malawi wamepania Kuutangaza Muziki wa Asili
Imechapishwa:
Cheza - 20:50
Walianza kikiwa ni kikundi cha vijana wanane baadae ikawa bendi kamili na kusheheni muziki wa Makabila mbalimbali kutoka nchini Malawi.Katika Makala ya Nyumba ya sanaa, Steven Mumbi anazungumza na mmoja wa wasanii wa Bendi hiyo Gilbert Simchoba kuzungumzia safari ya Benki hiyo yenye miaka minne sasa.