Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mkataba wa mwisho wa amani watiwa saini nchini Sudan Kusini

Imechapishwa:

Je, amani ya kudumu inakuja nchini Sudan Kusini ? Hatimaye, rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar wametia saini mkataba wa mwisho wa amani baada ya mazungumzo ya miezi kadhaa jijini Khartoum nchini Sudan, ambao pamoja na mambo mengine, unasitisha vita na kuwezesha kuundwa kwa serikali ya pamoja, huku Machar akitarajiwa kurejea kama Makamu wa kwanza wa rais.

Kiongozi wa waasi Riek Machar (Kushoto) akiwa na rais Salva Kiir (Kulia ) wakitia mkataba wa amani jijini Khartoum nchini Sudan
Kiongozi wa waasi Riek Machar (Kushoto) akiwa na rais Salva Kiir (Kulia ) wakitia mkataba wa amani jijini Khartoum nchini Sudan REUTERS/Mohamed Nureldin Abdallah
Vipindi vingine
  • 10:04
  • 10:02
  • 09:47
  • 09:59
  • 09:35
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.