Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Wanasiasa Burundi watofautiana kuhusu uteuzi wa wajumbe wa Tume ya Uchaguzi

Imechapishwa:

Wanasiasa nchini Burundi wametofautiana kuhusu uteuzi wa wajumbe saba wapya walioteuliwa katika Tume ya Uchaguzi CENI. Wanasiasa wa upinzani wakiongozwa na Agathon Rwasa anayeongoza chama cha FNL ,wanasema wajumbe hao wapya ni vibaraka wa chama tawala. Makamu wa kwanza wa rais Gaston Sindimwo naye anasema hakushirikishwa. Je, hii inamaanisha nini ?

Rais wa Burundi  Pierre Nkurunziza
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza © RFI-KISWAHILI
Vipindi vingine
  • 10:04
  • 10:02
  • 09:47
  • 09:59
  • 09:35
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.