Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Vita vya ufisadi nchini Kenya vitafanikiwa ?

Imechapishwa:

Kenya inafanikiwa katika vita dhidi ya ufisadi ? Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo Bi.Philomena Mwilu ni miongoni mwa viongozi wa juu waliokamatwa na kufikishwa Mahakamani kwa madai ya ufisadi. Rais Uhuru Kenyatta ameapa kupambana na janga hili katika kipindi chake cha mwisho cha uongozi wake. Unafikiri Kenya itafanikiwa katika vita hivi ?

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta REUTERS/Thomas Mukoya
Vipindi vingine
  • 10:04
  • 10:02
  • 09:47
  • 09:59
  • 09:35
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.