Mjadala wa Wiki
Mkataba wa kusitisha vita nchini Sudan Kusini wakiukwa tena
Imechapishwa:
Cheza - 14:53
Mkataba wa kusitisha vita kabisa nchini Sudan Kusini, uliotiwa saini na rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar, umevunjika. Wamajeshi wanawalaumu waasi, huku waasi wakisema jeshi lilishambulia ngome zao. Nini hatima ya mkataba huu ?