Jua Haki Zako
Kujitoa kwa Marekani kwenye baraza la tume ya haki za binadamu
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia hatua ya nchi ya Marekani kutangaza kujitoa kwenye baraza la tume ya haki za binadamu ya umoja wa Mataifa.