Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mali itagawanywa kwa wanandoa waishio pamoja tu;Mahakama Kenya

Imechapishwa:

Mahakama nchini Kenya imekataa kubadili kipengele cha sheria ya ndoa kilichowasilishwa na wanaharakati kudai kugawanywa mali kwa asilimia hamsini kwa hamsini kwa wanandoa wanaotalikiana.Mahakama imesema wanandoa wanaopaswa kugawana mali ni wale wanaoishi pamoja.

Pete zinazotumiwa kufunga ndoa
Pete zinazotumiwa kufunga ndoa wikipedia
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.