Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Wanaharakati wataka msichana aliyehukumiwa kunyongwa Sudan aachiwe huru

Imechapishwa:

Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia harakati za watetezi wa haki za binadamu na jumuiya ya kimataifa wanaotaka Serikali ya Sudan imuachie huru msichana wa miaka 16 aliyehukumiwa kunyongwa baada ya kumuua aliyekuwa mume wake.

Rais wa Sudan Omary al Bashir
Rais wa Sudan Omary al Bashir REUTERS
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.