Jua Haki Zako
Wanaharakati wataka msichana aliyehukumiwa kunyongwa Sudan aachiwe huru
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia harakati za watetezi wa haki za binadamu na jumuiya ya kimataifa wanaotaka Serikali ya Sudan imuachie huru msichana wa miaka 16 aliyehukumiwa kunyongwa baada ya kumuua aliyekuwa mume wake.