Habari RFI-Ki
Serikali zitilie maanani safari za Waafrika wanaokwenda Uarabuni kufanya kazi
Imechapishwa:
Cheza - 10:03
Baada ya kuripotiwa visa vya kufanyiwa ukatili kwa baadhi ya waafrika waendao kufanya kazi katika mataifa ya kiarabu,tayari serikali ya kenya imeanza kufanya mapitio ya sheria zake zinazohusu kaji hasa kwa lengo la kulinda haki za wakenya waendao kuajiriwa katika mataifa ya kiarabu...