Tume ya Uchaguzi nchini Kenya IEBC kwa sasa haiwezi kuendelea na shughuli zozote baada ya kujiuzulu kwa Makamishna watatu siku ya Jumatatu wiki hii.Makamishna hao wakiongozwa na Naibu Mwenyekiti Connie Maina , Paul Kurgat na Margaret Mwachanya, walisema walichukua hatua hiyo kwa kile walichosema Mwenyekiti Wafula Chebukati ameshindwa kuongoza Tume hiyo.
Vipindi vingine
-
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.23/04/202409:52 -
09:41
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31