Habari RFI-Ki
Marais Paul Kagame wa Rwanda na Yoweri Museveni wa Uganda Wazungumzia tofauti zao
Imechapishwa:
Cheza - 10:08
Maraisi Paul Kagame wa Rwanda na mwenzake Yoweri museven wa Uganda wamekutana nchini Uganda na kuahidi kuendeleza ushirikiano baina ya pande hizo mbili.Marais hao wawili wameahidi kumaliza tofauti zilizopo baina yao kwa kuhakikisha taasisi za nchi za nchi zao zinafikia muafaka.Mwandishi wa Rfi Kiswahili, Steven Mumbi amezungumza na wasikilizaji kupata maoni yao baada ya hatua hiyo.