Mjadala wa Wiki
Kwanini rais wa Uganda Yoweri Museveni alimfuta kazi Inspekta wa Polisi ?
Imechapishwa:
Cheza - 13:42
Wiki hii, rais wa Uganda Yoweri Museveni, alimfuta kazi Waziri wa usalama Henry Tumukunde na Inspekta Mkuu wa Polisi Jenerali Kale Kayihura.Uamuzi huu wa rais Museveni haukutarajiwa. Kujadili hili tunaugana na Dokta Kizza Besigye, kiongozi wa upinzani nchini Uganda ambaye amekuwa akiwania urais tangu mwaka 2001, lakini pia Kenneth Lukwago mchambuzi wa siasa za Uganda.