Changu Chako, Chako Changu
Mfaransa anayecheza ngoma za kitamaduni nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 20:11
Gerrard Joseph Bruno ni raia wa Ufaransa anayeishi nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 30. Ni mwanamuziki wa nyimbo za asili anayezumza lugha ya Kiswahili. Je, alifanikiwa vipi ?