Habari RFI-Ki
Tamasha la tano la kuhimiza amani lafanyika Mjini Goma nchini DRC
Imechapishwa:
Cheza - 09:56
Tamasha la tano la kuhimiza amani linafanyika Goma, Mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC.Mwandishi wetu, Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ambao wametoa maoni yao kuhusu tamasha hilo.